Mwatawala, M. W; Meyer, M. De; Seguni, Z; Rwegasira, G. M; Muganyizi, J; Senkondo, F; Sechambo, L; Shempemba, D; Kweka, E
(Kurugenzi ya Utafiti na Uzamili, Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine - SUA, 2012)
Kilimo cha mboga na matunda ni mojawapo ya tasnia za kilimo inayokua kwa
kasi hapa nchini kulinganisha na ilivyokuwa hapo awali. Kwa mfano, takwimu
za uzalishaji wa matunda katika msimu wa 2008/2009 ni tani 1, 205,340.5 ...