Mtanzania Digital; Patricia, Kimelemeta
(Mtanzania Digital, 2017)
Shayiri ni zao la nafaka, linalotokana na nyasi zikuazo kwa mwaka‘Hardeum vulgare’
shayiri hutumika hasa kulishia mifugo huku kiasi kidogo kikitumika kutengenezea
vileo(Bia na vinywaji vingine) na kwenye chakula chenye nguvu