Mahoo, H; Pangapanga, C. P; Pendo-Edna, H
(Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine - SUA, 2012)
Hapa nchini Tanzania kilimo ni sekta inayoongoza kuchangia pato la taifa. Shughuli za kilimo katika sehemu nyingi zinafanywa na wakulima wadogo wadogo ambao wanahitajika kusaidiwa mafunzo ili kuinua hali zao duni za maisha ...