Laswai, G. H; Mnembuka, B. V; Lugeye, S. C
(SUA - TU Linkage Project, 2000)
Kijitabu hiki kimetayarishwa ili kukidhi mahitaji ya wafugaji wa sungura katika Tanzania. Kinajihusisha zaidi na kanuni muhimu ambazo mfugaji wa sungura anapashwa kuzifuata au kuzingatia wakati akitunza wanyama hawa.