Jatu Company Limited
(JATU PLC, 2020-07-09)
Parachichi ni zao linalooteshwa katika ukanda wa baridi na katika ardhi yenye rotuba na maji ya kutosha. Njombe, Iringa, Mbeya, Morogoro, Tanga na Kilimanjaro ni baadhi tu ya mikoa inayolima Parachichi kwa wingi hapa Tanzania.